Usiyatumie haya mafuta

Kuna mafuta ya Ngazi(mawese)yanaitwa ZOMI kutoka Ghana kama muko nayo musiyapiye tena yamu ndani kemikali inayoitwa SUDAN DYES hiyo nikemikali ambayo inatumiwa kugeuza vitu mfano utaona iko mawese kumbe sio mawese.Tarifa hii ni kweli na yamepimwa Swise na wakatowa onyo na mimi nimeiona.Jaribu kuwambia watu wote uwajuwayo  wajie pushe nayo kuanzia sasa.Mimi mwenye niko nayo.

Commentaires

Posts les plus consultés de ce blog

Anza biashara yako kwa mtaji mdogo

Mambo 10 ambayo kijana hutakiwi kuyafanya

Jinsi ngono inavyo angamiza maisha ya vijana