MAISHA YANGU YA MAPENZI
Nilikuwa na
mpenzi wangu ambaye tulikuwa tunapendana naye sana
Mpaka ilipo
fikia tukawa tunapanga jinsi gani tunaweza kuowana kwa matatizo fulani ambayo
alijitokezaga nyumbani kwetu yaani mama alikuwa amesha anza kuniambia nimesha
kuwa inabidi Wapewe mahali zangu sasa yaani ikawa kama usumbufu nyumbani kila
kukicha naambiwa vitu kama ivo mpaka nikawa naona kama imesha kuwa kero kwangu
Mpaka
nikamwambia mpenzi wangu ambaye nilikuwa nampenda sana matatizo yaliopo
nyumbani kwetu
Nilipo mwambiaga
alinijibu kuwa yuko tayari kuniowa ila sio mali cash nikaona mpaka apo sio
vibaya kama nitakuwa nawatokea wazazi wangu machoni itakuwa vyema zaidiili zile
kelele za kila siku zinipungukie
Kufika juma tatu
akaniambia Twende sokoni nikununulie nguo ambazo unapenda ili zikutaniwe home
kwetu maana tulikuwa tunapanga kurendezana siku ya tatu
Tukaenda sokoni
nikachagua nguo nyingi kweli nilipo rudi nyumbani nikawa napanga nguo zangu
ambazo nitaenda nazo na zile ambazo nilikuwa napanga kuacha nikawa nawapa
marafiki zangu kwasababu sikuwa na mdogo ata moja mwetu tulizaliwa wawili tu na
dada yangu na amesha olewa kitambo
Ilipofika siku
ya pili jioni akafika rafiki yangu nyumbani nakuniambia kwamba MAURIDI
amerendeza nimeacha kwao kuko full vigere gere akika AIMERERANCE alikuwa
ananiambia ivo nilikuwa sipo tena
Nilianguka gafla
nikajikuta nimesha kuwa ospitalini nikawa najiuliza mengi ivi ni kweli Mauridi
anaweza kunifanyia mimi kitu kama hichi nilikaaa siamini ila
Nilikubali baada
yakuona nimekaa ospitali siku mbili bila kumuona akija kuniangalia
Nilipo rusiwa
kurudi nyumbani nienda kwa dada maani sikujiskia ata kurudi nyumbani kwetu tena
kwa kuepuka zile fujo za wazazi wangu
Mpaka sasa naishi sijuwi thamani ya kuwa na mpenzi
maishani na sina ndoto yakuwa na mpenzi tena maishani mwangu.
Nawaombeni nyinyi mlie kwenye ndoa zitihini ndoa
zenu msije kuzichezea siku moja maana ninavyo yajuwa maumivu ya mapenzi ni
zaidi ya kifo
Mungu awabariki amen
Commentaires